Monday, July 5, 2010

DUNGA ATIMULIWA KUINOA BRAZIL!!


Shirikisho la Soka nchini Brazil CBF limetangaza kumtimua kazi Kocha wa Kikosi hicho ambacho alikuwa anakiongoza kwenye mchuano wa Kombe la Dunia na kutolewa kwenye hatua ya Robo Fainali Carlos Dunga. CBF imesema Kocha mpya atatajwa mwezi ujao na kuchukua jukumu la kukinoa kikosi hicho.

No comments:

Post a Comment