Monday, July 12, 2010

SPAIN BINGWA WOZA 2010!!!










Timu ya Taifa ya Spain imefanikiwa kutwaa ubingwa baada ya kuifunga Holland katika mchezo wa fainal kwa goli moja kwa nunge. Goli hilo limefungwa na kiungo Andrea Iniesta ambaye pia alikuwa mchezaji bora wa mchezo huo. Kwa matokeo hayo Spain inafanikiwa kuwa bingwa na kuweka rekodi ya kutwaa ubingwa ikiwa na magoli machache, kufungwa mechi ya kwanza ya mashindano na pia kuwa timu ya kwanza kutoka bara la Ulaya kutwaa ubingwa nje ya bara hilo!!!

No comments:

Post a Comment