Tuesday, July 6, 2010

SEMENYA HURU KUSHIRIKI MASHINDANO!!!


Mfukuza Upepo kutoka nchini Afrika Kusini Caster Semenya ameruhusiwa kushiriki katika mashindano ya riadhaa duniani baada ya uchunguzi aliofanyiwa kubaini kuwa jinsi yake ni ya kike na si ya kiume kama ambavyo ilikuwa inadaiwa awali!!!

No comments:

Post a Comment