Monday, July 5, 2010

MARADONA KUKACHA KIBARUA CHAKE ARGENTINA!!!


Kocha Mkuu wa Argentina Diego Armando Maradona amesema atatangaza msimamo wake iwapo ataendelea kuifundisha Timu hiyo baada ya kutolewa katika hatua ya Robo Fainal kwa kupata kichapo kizito cha magoli 4-0!!!

No comments:

Post a Comment