Monday, July 5, 2010

NADAL ALIVYOTWAA UBINGWA WA WIMBLEDON!!!








Mchezaji nambari moja Duniani kwa mchezo wa Tennis upande wa Wanaume Rafael Nadal amefanikiwa kutwaa ubingwa w wimbledon baada ya kumchakaza Tomas Berdych kwa seti tatu kwa bila. Matokeo yalikuwa 6-3 7-5 na 6-4!!!

No comments:

Post a Comment