Saturday, July 3, 2010

SERENA ATWAA UBINGWA WA WIMBLEDON!!!





Mchezaji ambaye anaorodheshwa katika nafasi ya kwanza kwa ubora wa Tennis upande wa wanawake Serena Williams amefanikiwa kutwaa taji la Wimbledon baada ya Vera Zvonareva kwa mbili za 6-3 na 6-2.

No comments:

Post a Comment