Saturday, July 3, 2010

SPAIN YATINGA NUSU FAINAL WOZA 2010!!!









Timu ya taifa ya Spain imetinga hatua ya nusu fainal baada ya kuichabanga Paraguay kwa goli moja kwa nunge. Goli hilo pekee la Spain limekwamishwa nyavuni na David Villa na hivyo sasa timu hiyo itakuwa na kibarua dhidi ya German!!!

No comments:

Post a Comment