Thursday, July 8, 2010

HOWARD WEBB KUCHEZESHA FAINAL WOZA 2010!!!



Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemtangaza Mwamuzi kutoka nchini Uingereza Howard Webb kuchezasha mchezo wa fainal wa Kombe la Dunia utakaopigwa siku ya jumapili kwenye Dimba la Soccer City. FIFA imemtangaza mwamuzi huyo mwenye umri wa miaka 38 akisaidiwa na Michael Mullarkey na mwenzake Darren Cann na kuwa mwamuzi wa kwanza kutoka Uingereza tangu mwaka 1974. Mchezo huo wa jumapili unatarajiwa kuwakutanisha Holland dhidi ya Spain!!!

No comments:

Post a Comment