Monday, July 19, 2010

HARAKATI ZA KUSAKA UBUNGE ZAZIDI KUPAMBA MOTO!!!



Mkurugenzi wa shirika la Wanaharakati wanaojishughulisha na masuala ya Utawala bora, Maendeleo na Haki za binadamu (AFDF), Renatus Mkinga (kushoto) akitangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Songea Mjini huku akionesha moja ya karatasi yenye sifa za mbunge alizodai ni bandia na kuahidi kuwapelea mahakamani wabunge wote wenye vyeti bandia endapo atachaguliwa. Kulia na Makamu mwenyekiti wa Chama cha waandishi wa habari Ruvuma , Muhidin Amri. (Picha na Mdau Emmanuel Msigwa)

No comments:

Post a Comment