Monday, July 12, 2010

RAIS MUSEVENI ATEMBELEA MAJERUHI!!!


Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni ametembelea Hospital kuwaangalia majeruhi waliotokana na mashambulizi mawili ya milipuko ya mabomu iliyotokea nchini humo na kuhusishwa na Kundi la Wanamgambo wa Al Shabab kutoka Somalia. Watu sabini na nne wameelezwa kupoteza maisha na wengine sabini wakijeruhiwa katika mashambulizi hayo yaliyotokea katika Klabu ya Raga na Mgahawa wa Ethiopia!!!

No comments:

Post a Comment