Tuesday, January 31, 2012

MICHEZO YA KUNDI C KUMALIZIKA LEO!!!


Michezo ya Kundi C ya kumalizia ratiba itapigwa leo wakati huu ambapo wenyeji Gabon na Tunisia wakiwa wameshafuzu katika Robo Fainali!! Ratiba ya Mchezo ya Kundi C ni kama ifuatavyo:
Gabon v Tunisia, Franceville
Niger v Morocco, Libreville

No comments:

Post a Comment