Wednesday, January 18, 2012

REAL MADRID YAPATA KICHAPO KUTOKA KWA BARCELONA!!!




Magoli mawili ya Carles Puyol na Eric Abidal yalitosha kuwazima Real Madrid kwenye mchezo wa kwanza wa Kombe la Copa Del Rey uliopigwa kwenye Dimba la Santiago Bernabeu!! Barcelona wamejiweka katika mazingira mazuri kufuzu hatua ya nusu fainal baada ya kutokea nyuma kwa goli la Cristiano Ronaldo na kupata ushindi huo!! Mchezo wa marudiano utapigwa juma lijalo kwenye Uwanja wa Camp Nou!!!

No comments:

Post a Comment