Thursday, February 9, 2012

WANAHARAKATI WAFUNGA BARABARA WAKISHINIKIZA SERIKALI KUMALIZA MGOMO WA MADAKTARI!!!





Wanaharakati Jijini Dar Es Aalaam wakiwa wamepiga kambi katika Barabara ya Ally Hassan Mwinyi wakishinikiza serikali kuzungumza na Madaktari ambao wapo kwenye mgomo uliodumu kwa zaidi ya majuma mawili sasa huku wagonjwa wakiendelea kupoteza maisha!! Wanaharakati hao wametaka hilo lifanyike mara moja ili kunusuru maisha ya wagonjwa!!!

No comments:

Post a Comment