Thursday, January 19, 2012

MBUNGE WA ARUMERU KUPITIA CCM JEREMIA SUMARI AFARIKI DUNIA!!!


Mbunge wa Arumeru kupitia Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM Jeremia Sumari amefariki Dunia asubuhi hii katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa anapatiwa matibabu!! Sumari alikuwa Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi na anakuwa Mbunge wa Pili kufikwa na umauti baada ya Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Maendeleo na Demokrasia CHADEMA Regia Mtema!!

No comments:

Post a Comment