Tuesday, January 24, 2012

BALOTELLI KUFUNGIWA MICHEZO MINNE KWA UTOVU WA NIDHAMU MCHEZONI!!!


Mshambuliaji wa Kimataifa wa Italia anayekipiga na Klabu ya Manchester City Mario Balotelli ameingia matatani baada ya kuonekana kwenye picha za video akimkanyaga makusudi kiungo wa Tottenham Scott Parker kwenye mchezo wao wa jumapili!! Chama Cha Soka Nchini Uingereza FA kimesema kitamfungia Balotelli lakini ana nafasi ya kukata rufaa!! FA imesema iwapo atashindwa rufaa adhabu itaongezwa!!

No comments:

Post a Comment