Wednesday, January 18, 2012

ASAMOAH GYAN TAYARI KWA MATAIFA YA AFRIKA!!!


Kikosi cha Timu ya Taifa ya Ghana maarufu kama Black Stars kimepata nguvu baada ya Mshambuliaji wake Asamoah Gyan kufanikiwa kurejea kwenye kikosi hicho kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Platinum Stars!! Kwenye mchezo huo Gyan alifanikiwa kufunga goli moja kati ya mawili huku jingine likifungwa na Andrew Ayew!!

No comments:

Post a Comment