

Goli la pekee la kwake Edin Dzeko lilitosha kuwapa ushindi Manchester City mbele ya Wigan Athletics katika mchezo uliokuwa mgumu!! Dzeko alifunga kwa kichwa kiunganisha mpira uliopigwa na Davis Silva na hivyo kuongeza tofauti ya pointi kufikia tatu dhidi ya mahasimu wao Manchester United!!
No comments:
Post a Comment