Monday, January 16, 2012

MAN CITY YAONGEZA TOFAUTI YA POINTI KUFIKIA TATU MBELE YA MAN UTD!!!



Goli la pekee la kwake Edin Dzeko lilitosha kuwapa ushindi Manchester City mbele ya Wigan Athletics katika mchezo uliokuwa mgumu!! Dzeko alifunga kwa kichwa kiunganisha mpira uliopigwa na Davis Silva na hivyo kuongeza tofauti ya pointi kufikia tatu dhidi ya mahasimu wao Manchester United!!

No comments:

Post a Comment