


Klabu ya Swensea ilipeleka kilio huko Emirates baada ya kufanikiwa kuwachakaza Washika Bunduki Arsenal kwa magoli 3-2 na hivyo kuifanya timu hiyo kukwamisha kwenye mipango yake ya kusaka nafasi nne za juu!! Kocha Mkuu wa Arsenal ameangusha lawama zake kwa Mabeki wa Timu hiyo na kuwataka kuwa makini kwenye michezo inayofuata!!
No comments:
Post a Comment