Tuesday, January 31, 2012

SUDAN YAFUZU ROBO FAINAL AFCON WAKATI ANGOLA IKIONDOSHWA!!!


Timu ya Taifa ya Sudan imeweza kufuzu katika hatua ya Robo Fainali na kuvunja ukame wa miaka 42 wa kupata ushindi kwenye Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya kuifunga Burkina Faso kwa magoli 2-1!! Sudan ilipata tiketi ya kucheza Robo Fainali baada ya Ivory Coast kuichapa Angola ambayo ilikuwa inahitaji pointi moja pekee ili iweze kufuzu kwa hatua ya Robo Fainali!! Sudan wamefanikiwa kuitoa kimasomaso Kanda ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA baada ya kufuzu hatua ya Robo Fainali!!

No comments:

Post a Comment