Tuesday, January 3, 2012

MAN CITY YAIZIMA LIVERPOOL WAKATI TOTTENHAM IKIPAA!!





Magoli ya kwao Sergio Kun Aguero, Yaya Toure na James Milner yalitosha kuwapa ushindi Manchester City iliyomaliza ikiwa na wachezaji kumi kupata ushindi wa magoli 3-0 mbele ya Liverpool!! Man City ilimpoteza Gareth barry baada ya kuzawadiwa kadi nyekundu lakini haikuwa kikwazo kuibuka na ushindi!! Tottenham nao wameendelea kuchupa baada ya kuifunga West Bromwich Albion kwa goli 1-0 huku Sunderland ikishusha ghadhabu zake kwa Wigan Athletic na kuifunga magoli 4-1!!

No comments:

Post a Comment