

Vinara wa Ligi Kuu Nchini Uingereza Klabu ya Manchester City imeambulia kichapo cha goli 1-0 mbele ya Sunderland katika mchezo uliopigwa huko Stadium Of Light!! Goli la Ji Dong-Won ndilo lilipeleka kilio kwa Klabu ya Man City na hivyo kushindwa kuongeza tofauti ya pointi kileleni!!
No comments:
Post a Comment