Sunday, January 15, 2012

INTER MILAN WAWALAZA MAPEMA AC MILAN BAADA YA KUWAPA KICHAPO!!!


Goli pekee la Mshambuliaji wa Kimataifa wa Argentina Diego Milito lilitosha kuwanyamazisha AC Milan ambayo ilikuwa na rekodi mwanana ya kushinda katika michezo yake kumi na miwili!! Licha ya AC Milan kupata nafasi nyingi walishindwa kuzitumia na hivyo kushuhudia jahazi lao likizama!!

No comments:

Post a Comment