Monday, January 16, 2012

KALOU AIPA USHINDI IVORY COAST DHIDI YA LIBYA!!!


Timu ya Taifa ya Ivory Coast imeendelea vyema katika michezo yake ya kirafiki baada ya kufanikiwa kuifunga Libya kwa goli 1-0!! Goli la pekee lilifungwa na Mshambuliaji anayekipiga na Chelsea Solomon Kalou!! Ivory Coast ilishuhudia mchezi Bora wa Afrika Yaya Toure naye akirejea baada ya kuwa maheruhi!! Mashindano ya Mataifa ya Afrika yanatarajia kuanza kutimua vumbi siku ya Jumamosi!!

No comments:

Post a Comment