Thursday, January 19, 2012

BECKHAM AONGEZA MKATABA KUKIPIGA LA GALAXY!!!


Kiungo wa Kimataifa wa Uingereza David Beckham ambaye anakipiga katika Klabu ya Los Angeles Galaxy ameongeza mkataba wa miaka miwili kukipia kwenye timu hiyo tangu ajiunge nayo mwaka elfu mbili na saba akitokea Real Madrid!! Beckham ambaye alikuwa anasakwa na Klabu ya Paris St Germain amesema hatua yake kuendelea kubaki LA Galaxy ni hatua muhimu zaidi!!!

No comments:

Post a Comment