



Klabu ya Arsenal imekumbana na kichapo kutoka kwa Fulham cha magoli 2-1!! Washika Bunduki hao ndiyo walikuwa wa kwanza kupata goli kabla ya magoli ya Steve Sidwell na Bobby Zamora kulizamisha jahazi la timu hiyo!! Katika mchezo mwingine Chelsea wakaibuka na ushindi wa magoli 2-1 mbele ya Wolves!!
Matokeo mengine ni:
Aston Villa 0-2 Swansea
Blackburn 1-2 Stoke City
QPR 2-1 Norwich City
No comments:
Post a Comment