Friday, August 20, 2010

WALIMU WATAKIWA KUACHA TABIA YA UMAMLUKI!!


NAIBU katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Bw. Ezekiel Oluoch, akiongea na walimu wa shule za msingi na sekondari katika ukumbi wa Songea Club mjini hapa huku akiwataka walimu hao kuacha mara moja kuwa vibaraka wa wanasiasa kama wengi wao walivyogeuka kuwa makampeni meneja wa wagombea katika mchakato wa upigaji kura za maoni uliofanyika hivi karibuni. (Picha zote na Emmanuel Msigwa, Songea)

No comments:

Post a Comment