Wednesday, August 18, 2010

YANGA YATWAA NGAO YA HISANI!!!


Timu ya Yanga ilifanikiwa kutwaa Ngao ya Hisani baada ya kuwafunga Mabingwa wa Tanzania Bara, Simba kwa changamoto ya mikwaju ya penalty. Yanga iliibuka mbabe kwa mikwaju mitatu dhidi ya mmoja wa Simba!!!

No comments:

Post a Comment