Sunday, August 15, 2010

LIVERPOOL NA ARSENAL HAKUNA MBABE!!!








Mechi ya kwanza ya Big Four nchini England imeshuhudia Vijogoo vya Jiji Liverpool vikigawana pointi na Washika Mitutu wa Jiji la London, Arsenal baada ya dakika tisini za mchezo wao kumalizika kwa sare ya goli 1-1!!!

No comments:

Post a Comment