Friday, August 20, 2010

BALOTELLI AIBEBA MAN CITY, COLE AKIKOSA PENALTY!!



Michezo ya kusaka nafasi ya kushiriki katika hatua ya Makundi ya Mashindano ya Europa imeendelea na kushuhudia Manchester City ikichomoza na ushindi wa goli moja kwa nunge dhidi ya FC Timisoara kwa goli la Super Mario Balotelli. Vijogoo vya Jiji, Liverpool vimevuna ushindi wa goli moja kwa buyu mbele ya Trabzonspor huku Joe Cole akikosa mkwaju wa penalty!!!

No comments:

Post a Comment