Wednesday, August 18, 2010

ANELKA AUDHIKI UAMUZI WA FFF KUMFUNGIA!!!


Mshambuliaji wa Klabu ya Chelsea, Nicolas Anelka ameudhiaki uamuzi wa Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Kabumbu nchini Ufaransa FFF kumfungia michezo kumi na nane ya kimataifa baada ya kuwa chanzo cha kuzuka mtafaruku wakati wa fainali za Kombe la Dunia nchini Afrika Kusini. Anelka amesema vyote vinavyofanyika havina maana na vimekuja kwa sababu Kocha Mpya Laurent Blanc aweze kufanya kazi zake kwa amani!!!

No comments:

Post a Comment