Sunday, August 15, 2010

MRITHI WA FABIO CAPELLO ATAKUWA MZAWA!!!


Chama Cha Soka nchini England FA kimesema kocha ambaye atakuja baada ya Fabio Capello kumaliza mkataba wake atakuwa mzawa na si kutoka taifa jingine. Mkurugenzi Mtendaji wa FA amethibitisha Kocha ambaye atafuata baada ya 2012 atakuwa Muingereza!!!

No comments:

Post a Comment