Thursday, August 19, 2010

MASCHERANO KUONDOKA KWA ADA KUBWA YA UHAMISHO!!


Kocha wa Vijogoo vya Jiji Klabu ya Liverpool, Roy Hodgson amesema atamuuza kiungo ambaye hajatulia wa timu hiyo Javier Mascherano iwapo klabu ambazo zinamtaka zitatoa fungu kubwa kuweza kumnunua. Mascherano amemwambia Hodgson anataka kuondoka Anfield kwa sababu zake binafsi huku Inter Milan na Barcelona zikimwania!!!

No comments:

Post a Comment