Tuesday, August 17, 2010

SIMBA vs YANGA!!!



Watani wa Jadi Simba na Yanga leo wanashuka dimbani katika mchezo wao wa Ngao ya Hisani ikiwa ni ufunguzi wa Ligi katika Msimu ujao ambao unataraji kuanza mwishoni mwa juma hili. Mpambano huo unapigwa katika Dimba la Taifa huku Simba akiwa bingwa mtetezi!!

1 comment: