Wednesday, September 1, 2010

AJALI ZA BARABARANI BADO NI TATIZO SUGU!!!!


Askari wa kikosi cha usalama barabarani wakipima ajali ya gari aina ya Toyota Hiace yenye namba za usajiri T 544 AFY inayofanya safari zake kati ya Mtyangimbole na mjini Songea mara baada kufeli breki na dereva kulazimika kukata kona ya ghafla na kisha kuparamia ukuta wa hotel ya kufikia wageni ya Safina Lodge mjini Songea. Zaidi ya abiria 20 wamenusurika kifo katika ajali hiyo

Crista Komba mkazi wa mjini Songea mkoa wa Ruvuma, akipata matibabu katika hospitali ya mkoa mjini Songea baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Hiace yenye namba za usajiri T 544 AFY inayofanya safari zake kati ya Mtyangimbole na mjini Songea mara baada gari hilo kufeli breki na dereva kulazimika kukata kona ya ghafla na kisha kumgonga. Zaidi ya abiria 20 wamenusurika kifo katika ajali hiyo. (Picha zote na Emmanuel Msigwa, Songea)

No comments:

Post a Comment