Friday, August 20, 2010

GALLAS ATUA TOTTENHAM!!


Nahodha wa zamani wa Washika Bunduki wa Jiji la London, Arsenal, William Gallas amekamilisha usajili wake wa kujiunga na Tottenham Hotspur akiwa mchezaji huru. Gallas alikuwa anawaniwa na Kibibi Kizee cha Turin, Juventus na Panathinaikos ya Uguriki!!!

No comments:

Post a Comment