Sunday, August 15, 2010

MANCINI AMTAKA GIVEN ASALIE MAN CITY!!


Kocha Mkuu wa Klabu ya Manchester City, Robert Mancini amemtaka Mlindamlango wa timu hiyo Shay Given kuendelea kusalia licha ya kukira kwamba chaguo lake la kwanza kwa sasa ni Joe Hart ambaye aliisaidia kuambulia sare dhidi ya Tottenham Hotspurs!!!

No comments:

Post a Comment