Monday, August 2, 2010

BABU SONG ATANGAZA KUTUNDIKA DARUGA CAMEROON!!




Mkongwe Rigobert Song atangaza kutundika daruga katika Soka la Kimataifa baada ya kuitumikia Cameroon kwa michezo 137 na kufunga magoli 4 tu. Hatua hiyo inakuja baada ya kucheza fainal nne za Kombe la Dunia na kuwa mchezaji ambaye amepata mafanikio makubwa akiwa na Kikosi cha Simba wasiofugika.

No comments:

Post a Comment