Thursday, August 19, 2010

MAN CITY KUUZA WACHEZAJI WATATU!!





Kocha Mkuu wa Klabu ya Manchester City, Roberto Mancini ametangaza kuwa tayari kuwauza wachezaji watatu wa timu hiyo. Golikipa Shay Given baada ya Joe Hart kuonesha uwezo mkubwa, Mshambuliaji Roque Santa Cruz ambaye hana uhakika wa namba pamoja na Robinho ambaye kwa sasa anakipiga kwa mkopo katika Klabu ya Santos!!!

No comments:

Post a Comment