Wednesday, August 18, 2010

ANELKA, EVRA, RIBERY NA TOULALAN WAFUNGIWA TIMU YA TAIFA!!!






Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka nchini Ufaransa FFF limewafungiwa wachezaji ambao waanaelezwa kuwa chanzo cha kutokea mgomo! Nicolas Anelka amefungiwa michezo kumi na nane, Nahodha wa Kikosi hicho Patrice Evra michezo mitano, Franck Ribery michezo mitatu na Jeremy Toulalan mchezo mmoja!!!

No comments:

Post a Comment