Monday, March 15, 2010

MAN UNITED YARUDI KILELENI, MAN CITY YABANWA TENA!!!



Mashetani Wekundu Klabu ya Manchester United imefanikiwa kuichakaza Fulham kwa magoli matatu kwa nunge. Magoli ya Man United yamefungwa na Wayne Rooney ambaye amecheka na nyavu mara mbili huku goli la tatu likifungwa na Dimitry Berbatov. Manchester City wenyewe wameambulia sare ya goli moja kwa moja dhidi ya Sunderland.

No comments:

Post a Comment