Friday, March 12, 2010

HAGREAVES KUCHELEWA KUREJEA UGANI!!


Kocha Mkuu wa Manchester United, Sir Alex Ferguson amethibitisha kuchelewa kurejea ugani kwa kiungo wake Owen Hagreaves ambaye amekuwa akisumbuliwa na maaumizu kwa muda mrefu.Owen atachelewa kurejea baada ya kujitonesha maumivu aliyokuwa nayo katika mchezo wa kirafiki wa wachezaji wa akiba.

No comments:

Post a Comment