Wednesday, March 17, 2010

CHELSEA YAFA STAMFORD BRIDGE!!


Goli la Mshambuliaji wa Kimataifa wa Cameroon Samuel Etoo Fils limetosha kuwaondosha kwenye Mchuano wa Kombe la Ligi ya Mabingwa Klabu ya Chelsea. Inter Milan ambayo inanolewa na Jose Antonio Mourinho imefanikiwa kutinga katika hatua ya robo fainali kwa jumla ya magoli 3-1.

No comments:

Post a Comment