Sunday, March 14, 2010

PACQUIAO AMCHAKAZA CLOTTEY!!!


Bingwa wa WBO Manny Pacquiao amefanikiwa kutetea taji lake baada ya kumchakaza Bondia wa Ghana Joshua Clottey kwa pointi baada ya raundi kumi na mbili kumalizika bila ya kuwepo mbabe!!

No comments:

Post a Comment