Thursday, March 4, 2010

HASHEEM AZUA MJADALA DUNIANI!!!


Mchezaji wa Mpira wa Kikapu kutoka Tanzania, Hasheem Thabeet amezua mjadala katika mitandao mbalimbali duniani kutoka na hatua ya kushushwa kutoka NBA kwa kile ambacho kinaelezwa ni kushindwa kufikia kiwango alichotarajiwa. Mchezaji huyo wa Memphis Grizzlies amepelkwa timu ya Dakota kwa ajili ya kupandisha kiwango chake. Kila la kheri Hasheem usikate tamaa na hiyo ndiyo iwe chanzo chako cha kurejea NBA kwa nguvu!!!

No comments:

Post a Comment