Thursday, March 4, 2010

VITUO VYA KUPIGIA KURA VYASHAMBULIWA IRAQ!!


Zoezi la Kupiga kura kuchagua wabunge nchini Iraq limeingia dosari baada ya kushambuliwa na kusababisha vifo vya watu kumi na nne. Washambuliaji wa kujitoa mhanga wameshambulia vituo viwili vya kupigia kura katika siku ya kwanza ya Uchaguzi wa Wabunge!!

No comments:

Post a Comment