Monday, March 15, 2010

BECKHAM HATARINI KUKOSA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA!!!





Kiungo wa kimataifa wa England David Beckham ambaye anakipiga katika Klabu ya AC Milan huenda akakosa mashindano yake ya nne ya Kombe la Dunia kufuatia kuumia katika mchezo dhidi ya Chievo. Beckham alilazimika kutolewa uwanjani kwa machela baada ya kuumia katika mchezo huo ambao AC Milan imevuna uhsindi wa goli moja kwa nunge. Kiungo huyo anatarajiwa kupelekwa Finland kufanyiwa upasuaji kwa madaktari bingwa.

No comments:

Post a Comment