Friday, March 12, 2010

VIJANA WAKICHAKARIKA KUSAKA MKATE WA SIKU!!!





Shughuli hizi zimekuwa maarufu sana hivi sasa kutokana na vijana wengi kujikita katika kusafisha kucha kina dada na kujipatia riziki. Haikuwa mazoea kwa wanaume kuwasafisha miguu kinadada lakini hali ngumu ya maisha inawafanya vijana wawe wabunifu kila kukicha.

No comments:

Post a Comment