Monday, December 19, 2011

KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI KIM JONG IL AFARIKI DUNIA!!


Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Il amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 69 baada kuugua ugonjwa wa moyo. Kiongozi huyo ambaye aliingia madarakani mwaka 1994 baada ya kifo cha Baba yake Kim Jong Sung. Nafasi yake itachukuliwa na mwanae Kim Jong Un!! Mazishi yake yatafanyika tarehe 28 December 2011!!

No comments:

Post a Comment