Monday, May 23, 2011

CARLO ANCELOTTI ATUPIWA VIRAGO CHELSEA!!



Kocha wa Chelsea Carlo Ancelotti ametupiwa virago na Chelsea baada ya kile kinachotajwa kuwa ni kushindwa kwake kutimiza malengo ambayo yalikuwa yamewekwa na tajiri wake!! Ancelotii anaondoka na sasa kibarua kinabaki kwa Chelsea kusaka Kocha mwingine!!

No comments:

Post a Comment