Wednesday, December 28, 2011

KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI KIM JONG IL AZIKWA!!


Kiongozi wa zamani wa Korea Kaskazini Kim Jong Il amezikwa leo kwenye mazishi ambayo yameongozwa na mwanaye Kim Jong Un huku kukiwa hakuna kiongozi yoyote kutoka mataifa mengine ambaye amehudhuria maziko hayo!! Maelfu ya wananchi wa Korea Kaskazini wameshiriki kwenye shughuli hizo huku weni wao wakiomboleza kwa kilio!!

No comments:

Post a Comment